Back to home

Wagonjwa wa saratani waliandamana Nairobi

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 8, 2025
2h ago
Wagonjwa wa saratani waliandamana nje ya makao makuu ya bima ya sha eneo la Upper Hill hapa Nairobi, wakiitaka serikali kuongeza bima ya matibabu ya saratani. Waandamanaji hao wameilaumu serikali kwa kutozingatia changamoto zao, wakisema kiwango cha sasa kinachotolewa na sha haki