Back to home

Vijana zaidi ya 700 kutoka wadi 10 za Lamu kupokea fedha za kuanzisha biashara kwenye mradi wa NYOTA

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 8, 2025
2h ago
Vijana zaidi ya 700 kutoka wadi 10 za Lamu wanatarajiwa kupokea fedha za kuanzisha biashara kwenye mradi wa NYOTA unaotekelezwa na Serikali Kuu.