Back to home
Mwanaume Mkenya mwenye asili ya Italia ashtakiwa akihusishwa na ulaghai wa shamba Kilifi
video
C
Citizen TV (Youtube)October 9, 2025
2h ago
Mwanaume mmoja Mkenya mwenye asili ya Italia ameshtakiwa kwa Ulaghai wa shilingi milioni 165 unaohusisha sehemu ya ardhi inayodaiwa kuwa ya familia maskini katika mpango wa makazi eneo la Chembe Kibabamuche kaunti ya Kilifi.