Back to home
Walimu wa JSS Tana River wapinga kauli ya waziri wa elimu Migos Ogamba
video
C
Citizen TV (Youtube)October 10, 2025
3h ago
Walimu chini ya muungano wao wa KUPPET tawi la Tana River, wamepinga vikali agizo la Waziri wa elimu Julius Migos ya kuwa shule za sekondari msingi zitasalia chini ya uongozi wa walimu wakuu wa sasa.