Back to home

Waziri wa elimu Migos Ogamba awataka wahadhiri wa vyuo vikuu kurejea darasani

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 3, 2025
2h ago
Waziri wa elimu Migos Ogamba amewataka wahahdiri na wanachana wa UASU, KUSU na Kudhea kusitisha mgomo huku serikali ikiendelea kutekeleza mkataba wa makubaliano kwa awamu. Migos ameyasema hayo alipozindua mtihani ya kitaifa katika makao makuu ya baraza la mitihani nchini KNEC mta