Back to home

Wajumbe wa Wiper wamuidhinisha Kalonzo kuwania urais

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 10, 2025
4h ago
Chama cha Wiper Patriotic Front kimemuidhinisha rasmi kinara wa chama hicho Kalonzo Musyoka kuwania kiti cha urais katika uchaguzi wa mwaka wa 2027. Katika kongamanao la wajumbe wa chama hicho uliofanyika hapa jijini Nairobi, Kalonzo Musyoka amesema kuwa yuko tayari kuwarai vinar