Back to home
Mzozo wa ardhi Katani wagharimu maisha ya mtu mmoja, wawili wajeruhiwa
video
C
Citizen TV (Youtube)October 12, 2025
1mo ago
Mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa eneo la Katani kaunti ya Machakos kwenye mzozo wa ardhi ambao pia umesababisha kujeruhiwa kwa watu wengine wawili.
Samuel Muiruri Maina alipigwa risasi kufuatia tofauti kati ya mtu anayedai umiliki wa ardhi na kundi la vijana eneo hilo
Violent Incidents Lead to Deaths in Machakos and Turkwel; GBV Cases Rise in Malindi - October 2025
A land dispute in the Katani area of Machakos County has resulted in one fatality and two injuries after Samuel Muiruri Maina was shot and killed. In a separate incident, two miners were killed in new bandit attacks at the Turkwel gold mines, located on the West Pokot–Turkana border, which has led to increased tension in the area. Meanwhile, cases of sexual violence within families have reportedly increased in Malindi County. These incidents in Malindi have raised concerns about victims' access to justice due to cultural barriers. The reports highlight multiple security challenges in different parts of the country.
Visa vya dhuluma za kijinsia ndani ya familia vyaongezeka Malindi
Citizen TV (Youtube)
Video
Bandits kill two miners in Turkwel gold mines
NTV Kenya (Youtube)
Video
3 stories in this topic
View Full Coverage




