Back to home

Madarasa ya gredi ya 10 yajengwa eneobunge la Funyula

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 14, 2025
3h ago
Huku maandalizi ya miundomsingi kwa wanafunzi wa gredi ya kumi yakiendelea kote nchini, wazazi katika eneo bunge la Funyula kaunti ya Busia wamehakikishiwa kuwa shule zote katika eneo bunge hilo zitakuwa na madarasa ya gredi ya kumi ifikapo mwezi wa Januari mwaka ujao.