Back to home
Polisi waanza msako baada ya walinzi wawili kuuawa katika uvamizi wa shule ya upili ya Kabete
video
C
Citizen TV (Youtube)October 20, 2025
3h ago
Maaafisa wa polisi katika kituo cha Kabete hapa Nairobi wameanzisha uchunguzi kuwasaka wahalifu waliovamia shule ya upili ya Kabete na kuharibu mali katika shule hiyo na kuwaua walinzi wawili. Washukiwa hao walionaswa kwenye kanda za CCTV wanadaiwa kuwa wanafunzi wa kidato cha nn