Back to home
Marufuku ya kutosafirisha watoto alfajiri yazua mjadala
video
C
Citizen TV (Youtube)October 21, 2025
2h ago
Huku shule zikiandaa wanafunzi wao kufanya mtihani wa gredi ya sita na tisa wiki ijayo, wadau wa elimu wakiwemo walimu na wazazi wameitaka serikali kufutilia mbali marufuku ya mabasi ya Shule kusafirisha wanafunzi msimu huu wa zoezi hilo.