Back to home

Kiangazi cha sababisha ugomvi wa wakulima na wafugaji katika kaunti ya Lamu

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 21, 2025
2h ago
Kutokana na kiangazi kinachoshuhudiwa katika kaunti ya Lamu, mgogoro kati ya wakulima na wafugaji umeibuka. Onyo kali limetolewa kwa wale wanaovunja sheria na kuleta uhasama kati ya pande hizi mbili katika maeneo ya Witu, Lamu.