Back to home
Wakulima Murang'a walalamikia malipo duni ya bonasi ya majani chai
video
C
Citizen TV (Youtube)October 21, 2025
2w ago
Wakulima wa chai wamehimiza serikali kupitia wizara ya kilimo kutafuta njia za kuongeza thamani ya chai ya Kenya ambayo itavutia soko bora za kigeni na kuleta faida zaidi kwa wakulima.





