Back to home
Mwili unaoaminika kuwa wa mwanafunzi wa chuo kikuu cha Nairobi wapatikana hifadhi ya maiti ya City
video
C
Citizen TV (Youtube)October 26, 2025
5h ago
Mwili unaoaminika kuwa wa msichana wa chuo kikuu cha Nairobi aliyeripotiwa kutoweka eneo la Kikuyu umepatikana katika hifadhi ya maiti ya city. Hii ni baada ya sehemu ya mwili wa mwanamke kupatikana katika msitu wa Kefri Kikuyu na kupelekwa kwenye hifadhi hiyo tarehe 17 Oktoba. F





