Back to home

Serikali yawaonya wanaopanga kurudi Msituni Kirisia, Samburu

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 27, 2025
1d ago
Serikali imewaonya wafugaji wanaopanga kurejea katika msitu wa kirisia kaunti ya Samburu. Wakazi wengi waliondoka kwa hiari ili kupisha shughuli za uhifadhi wa msitu huo miaka michache iliyopita, lakini sasa baadhi yao wanapanga kurudi msituni humo.