Back to home

Wafanyikazi wa Posta, Embu, waandamana kudai mishahara yao ya miezi mitano

video
N
NTV Kenya (Youtube)
October 27, 2025
2mo ago
Shughuli za kazi katika kituo cha Posta cha Embu zimesimama baada ya wafanyakazi kubwaga zana za kazi ili kudai mishahara yao ya miezi mitano. Wafanyakazi hao wameapa kuendelea na mgomo hadi serikali isikie kilio chao na kuwalipa malimbikizi ya mishahara yao. Subscribe and watc

More on this topic

Postal Workers Strike Nationwide Demanding Unpaid Salaries - October 2025

Postal workers across Kenya have launched a nationwide strike to protest unpaid salaries. In Nairobi, Posta employees staged a protest to demand six months of unpaid wages. Concurrently, operations at the Embu Posta center have ground to a halt after employees went on strike demanding five months' worth of unpaid salaries. The industrial action by Posta employees highlights significant labor disputes within the postal service. The striking workers in Embu have vowed to continue their industrial action until the government addresses their grievances.

3 stories in this topic
View Full Coverage
Advertisement