Back to home
Wajane na mayatima wanakabiliwa na matatizo ya huduma Busia
video
C
Citizen TV (Youtube)October 29, 2025
2w ago
Kutokana na changamoto nyingi wanazokumbana nazo wajane na mayatima wengi mashinani, serikali kuu na za kaunti zimetakiwa kutenga fedha maalum za kuwasaidia kupambana na changamoto hizo hasa kiafya kwa wajane na elimu kwa mayatima. Ni wito uliotolewa katika hafla ya kuwahamasisha





