Back to home

Mahakama yasema Tume ya Kitaifa ya huduma za polisi haiwezi kuajiri au kufuta polisi

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 31, 2025
7h ago
Inspekta jenerali wa polisi ndiye mwenye mamlaka ya kuwaajiri, kuwafuta na kuwahamisha maafisa wa polisi. Haya ni kwa mujibu wa mahakama ya leba ambayo ilitoa uamuzi huo kufuatia mgogoro kati ya Tume ya Kitaifa ya huduma za polisi NPSC - na idara ya polisi. Mahakama imesema kuwa