Back to home
Serikali yaweka mikakati ya kukabiliana na umasikini na njaa
video
C
Citizen TV (Youtube)November 5, 2025
2h ago
Serikali ya kitaifa kupitia ofisi ya katibu wa ulinzi wa jamii na masuala ya wazee nchini imethibitisha tena ahadi yake ya kumaliza umaskini na njaa kupitia upanuzi wa programu muhimu za jamii. Katibu katika idara hiyo, Joseph Motari, amefichua kuwa Serikali ya Kenya inapanga ku




