Back to home
Familia ya mkenya aliyeuawa yaomboleza Taita Taveta
video
C
Citizen TV (Youtube)November 10, 2025
2h ago
Familia nyingine katika eneo la Taita Taveta inaomboleza kifo cha jamaa yao aliyefariki nchini Tanzania. Familia ya Albert Kamala inasema jamaa yao alikamatwa Moshi na kupatikana amefariki karibu na mpaka wa Kenya na taifa hilo. Haya yanajiri huku mkenya mwingine aliyekamatwa na





