Back to home

Ruto awaambia upinzani kuacha kubeza serikali, ahahidi Ukambani nafasi serikalini kufikia 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 14, 2025
2h ago
Rais William Ruto amewataka viongozi wa upinzani kukoma kuipaka serikali yake tope, iwapo hawatashiriki katika juhudi za kuboreshea maisha ya wakenya. Ruto aliyekuwa huko Machakos kwenye ziara yake ya ukambani, pia amewataka wakenya kutoshurutishwa kuwatimua viongozi ambao tayari