Back to home

Familia yahangaika kupata maiti ya John Okoth aliyeuawa Tanzania

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 17, 2025
3h ago
Familia ya Mkenya John Okoth Ogutu aliyeuawa jijini dar es salaam, tanzania wakati wa machafuko ya uchaguzi inasema bado haijapata usaidizi wa kupata maiti yake. Familia ya Ogutu inasema wamekuwa wakihangaishwa na ahadi tupu kila wanapofika kwa idara za serikali kutaka mwelekeo.