Back to home

Mtu mmoja aliuawa Chwele eneobunge la Kabuchai katika vurugu za uchaguzi mdogo

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 24, 2025
6h ago
Mtu mmoja aliuawa kwenye vurugu za kampeni za uchaguzi mdogo katika wodi ya Chwele huko Kabuchai kaunti ya Bungoma. Mzee huyo wa miaka 70 aliyekuwa akipokea matibabu baada ya ghasia hizo amefariki akipokea matibabu. Wengine waliojeruhiwa wanaendelea kutibiwa. Haya yamejiri huku j