Back to home

Watu 23 wakamatwa na mapanga Kasipul huku Mbunge Kaluma akivamiwa na kupokonywa bastola

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 27, 2025
2mo ago
Watu 23 wamekamatwa eneobunge la Kasipul kaunti ya Homa Bay wakati wa uchaguzi mdogo, baada ya kupatikana na mapanga ndani ya magari yao. Aidha, vijana waliojihami walimvamia na kumjeruhi mbunge wa Homa Bay Town Peter Kaluma kabla ya kumpokonya mlinzi wake bastola.

More on this topic

MP Peter Kaluma Attacked and Firearm Stolen During Kasipul By-Election - November 2025

During the Kasipul by-election, Homa Bay Town MP Peter George Kaluma and his bodyguard were attacked at the Agoro Sare polling centre. Amidst the chaos, the MP was reportedly injured. Following the attack, Kaluma claimed his bodyguard's firearm was stolen by armed youths. In connection with the electoral violence, police arrested 22 suspects. Separately, 23 individuals were arrested in Kasipul Constituency after being found with machetes in their vehicles.

5 stories in this topic
View Full Coverage
Advertisement