Back to home

Viongozi wa UDA wadai wana umaarufu Kajiado baada ya kushinda kiti cha wadi ya Purko

video
N
NTV Kenya (Youtube)
November 28, 2025
2w ago
Viongozi wa Chama cha UDA sasa wanadai kuwa chama hicho kina umaarufu mkubwa katika Kaunti ya Kajiado baada ya kushinda uchaguzi mdogo wa Wadi ya Purko, ambao ulishuhudia ushindani mkali kati yao na Chama cha DCP. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and e
Advertisement