Back to home

Wauguzi wasema hawajalipwa mishahara ya miezi 6 Kajiado

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 4, 2025
17h ago
Wauguzi zaidi ya 300 ambao waliajiriwa mapema mwaka huu Katika kunti ya Kajiado wanaishi katika hali ya uchochole baada ya kukosa kulipwa kwa zaidi ya miezi sita. Juhudi zao za kutaka wasikilizwe na Gavana wa Kajiado Joseph Ole Lenku ziligonga mwamba baada ya kufika ofisini mwake

More on this topic

Healthcare Workers in Kajiado, Embu, and Bondo Strike Over Unpaid Salaries - December 2025

More than 300 nurses in Kajiado County have reportedly not been paid for over six months, and their efforts to meet with Governor Joseph Ole Lenku have been unsuccessful. In Embu County, a workers' strike over unpaid salaries and promotions has entered its fourth day, paralyzing services across the county. Similarly, health services have been halted in the Bondo sub-county after health workers went on strike to protest the harassment of their colleagues. The strike in Bondo has affected access to essential medical services for citizens.

4 stories in this topic
View Full Coverage