Back to home
Wauguzi Kajiado wanalalamika kutolipwa mishahara kwa miezi 6
video
C
Citizen TV (Youtube)December 4, 2025
1h ago
Wauguzi zaidi ya 300 ambao waliajiriwa mapema mwaka huu Katika kaunti ya Kajiado wanaishi katika hali ngumu wakidai kukosa malipo kwa zaidi ya miezi sita. Wauguzi hawa wakidai kuwa juhudi zao za kutaka kuzungumza na Gavana wa Kajiado Joseph Ole Lenku zimegonga mwamba.




