Back to home

Serikali ya Tanzania yawaonya wanaopanga maandamano

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 4, 2025
1d ago
Jeshi la polisi la tanzania limetoa onyo kali dhidi ya maandamano yanayopangwa kufanyika tarehe 9 mwezi huu , likisisitiza kuwa wale wanaoratibu maandamano hayo watakabiliwa kisheria. katika taarifa ya msemaji wa serikali ya tanzania Gerson Msigwa amewashutuhumu wanaoandaa maanda