Back to home

Familia zaathirika na ukame kwa kukosa chakula na maji Kilifi

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 17, 2025
2h ago
Mamia ya familia katika baadhi ya maeneo ya Kilifi zinakabiliwa na njaa kutokana na ukame unaoendela kuathiri kaunti hiyo. Wakazi wengi walioathirika na hali hiyo wanalazimika kusafiri masafa marefu kutafuta bidhaa kama maji huku mabwawa ya maji pia yakikauka.
Advertisement