Back to home
Waathiriwa wa maporomoko huko Chesongoch hawana la kusherehekea msimu huu wa Krismasi
video
C
Citizen TV (Youtube)December 24, 2025
3h ago
Mamia ya watu waliohama kwao kufuatia maporomoko ya ardhi katika eneo la Chesongoch Kaunti ya Elgeyo Marakwet yaliyotokea mwezi Oktoba hawana la kusherehekea Krismasi hii. Familia hizo ambazo nyumba zao ziliharibiwa na matope zinahuzunika kwa kukosa chakula na makazi.
Advertisement
Advertisement





