Back to home

Kaunti ya Trans Nzoia yatoa chanjo ya mifugo ya maradhi ya midomo na miguu

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 25, 2025
2h ago
Serikali imeanzisha mpango wa chanjo kwa mifugo katika Kaunti ya Trans Nzoia ili kuwalinda wafugaji dhidi ya hasara wakati wa msimu wa Krismasi. Mifugo zaidi ya laki moja unusu inachanjwa dhidi ya ugonjwa wa Midomo na Miguu ili kuboresha afya ya mifugo na uzalishaji wa maziwa na
Advertisement