Back to home
Juhudi za awali za kubadilisha katiba hazijafua dafu
video
C
Citizen TV (Youtube)December 26, 2025
2h ago
Juhudi za awali kubadilisha katiba ya mwaka wa 2010 kupitia kura ya maamuzi hadi sasa hazijafua dafu. Ni suala ambalo limeibua hisia mseto huku pendekezo la kubadilisha katiba wakati wa uchaguzi mkuu ujao likikisiwa kukabiliwa na changamoto nyingi za kisheria. Seth Olale anaarif
Advertisement
Advertisement





