Back to home
Wakazi wa Konoin walalamikia madai ya ufisadi wa ajira katika TSC Bomet
video
C
Citizen TV (Youtube)December 29, 2025
3h ago
Wakazi wa eneo la Konoin kaunti ya Bomet wamevamia na kuifunga ofisi ya tume ya kuwajiri walimu nchini tsc tawi la konoin kwa tuhuma za ufisadi. Wakazi wamedai kuwa maafisa wanaohudumu katika afisi hizo wamekuwa wakipokea pesa kutoka kwa wenyeji wanaosaka ajira ya ualimu.
Advertisement
Advertisement





