Back to home
Wakazi wa Kibra washerehekea juhudi za polisi kulinda amani
video
C
Citizen TV (Youtube)January 12, 2026
3h ago
Wakazi wa Kibera waliandaa sherehe ya kuwashabikia maafisa wa polisi wa eneo hilo pamoja na wanachama wa usalama wa jamii, kufuatia kile wanasema ni kupungua kwa visa vya uhalifu. Tukio hilo lililenga kutambua juhudi zao katika kudumisha amani na usalama katika mtaa huo.
Advertisement
Advertisement


