Back to home
Onyo latolewa kaunti ya Trans Nzoia dhidi ya kuwanyima watoto haki ya kuelimishwa
video
C
Citizen TV (Youtube)January 14, 2026
3h ago
Wazazi katika Kaunti ya Trans Nzoia wameonywa vikali dhidi ya kuwanyima watoto wao haki ya kupata elimu kwa kukosa kuwapeleka shuleni huku maafisa wa serikali wakisema kuwa elimu ni haki ya kimsingi kwa kila mtoto, na yeyote atakayepuuza wajibu huo atachukuliwa hatua za kisheria.
Advertisement
Advertisement



