Back to home
Gavana wa Kaunti ya Trans Nzoia, George Natembeya akashifu hazina ya kitaifa
video
C
Citizen TV (Youtube)December 19, 2025
3h ago
Gavana wa Kaunti ya Trans Nzoia, George Natembeya, ameikosoa vikali Wizara ya Fedha kwa kuchelewesha utoaji wa fedha kwa serikali za kaunti, hatua ambayo amesema inadhoofisha pakubwa ugatuzi na kusababisha kudorora kwa utekelezaji wa miradi ya maendeleo mashinani.
Advertisement
Advertisement





