Back to home

Serikali ya Kaunti ya Makueni yanunua maembe ya wakulima

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 16, 2026
3h ago
Serikali ya Makueni imeanza kununua maembe ya wakulima kwa takriban shilingi miloni 13.9 ikilenga kununua tani 580 msimu huu maembe ambayo yatatumika kutengeneza shurubati katika kiwanda cha wakulima cha matunda cha Kalamba. Mpango huo unatarajiwa kuwapunguzia hasara wakulima wa
Advertisement