Back to home
Mshukiwa wa mauaji ya mtoto afika kortini
video
C
Citizen TV (Youtube)January 27, 2026
2d ago
Mshukiwa katika kifo cha mtoto mmoja na majeruhi watatu katika nyumba za serikali mtaani Mukuru amefikishwa mahakamani.
Mshukiwa huyo hakusomewa mashtaka alipofikishwa mbele ya mahakama ya makadara. Idara ya upelelezi wa jinai (DCI) iliomba siku 14 za kumzuilia zaidi ili kukamil
Advertisement
Advertisement





