Back to home
Wanasiasa watakiwa kuhubiri injli ya kukomesha ukeketaji Narok
video
C
Citizen TV (Youtube)February 6, 2026
2h ago
Mirindimo ya kisiasa inapozidi kushika kasi uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027 unapokaribia, wanaharakati dhidi ya dhulma kwa wasichana wamehimiza wanasiasa Kaunti ya Narok kuchangia kutoa hamasa dhidi ya ukeketaji.
Advertisement
Advertisement





