Back to home

Maafisa wa upelelezi wakamata washukiwa wawili wa wizi wa pesa kutoka maduka ya Mpesa

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 6, 2026
3w ago
Maafisa wa Upelelezi wamewakamata washukiwa wawili wanaohusishwa na wizi wa pesa kutoka kwenye maduka kadhaa ya Mpesa humu nchini...washukiwa hao walikamatwa katika uwanja wa JKIA walipotua kutoka Zambia ambako inaaminika walikuwa mafichoni
Advertisement