Back to home

Familia yaomba usaidizi kuusafirisha mwili wa mpendwa wao kutoka dubai

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 10, 2026
2w ago
Familia moja katika Kijiji cha Rianchogu Bomachoge Chache kaunti ya Kisii inalilia serikali kuwasaidia baada ya mwanao, Frasha OGACHI ONTIRI mwenye umri wa miaka 28 kuaga dunia huko Dubai.
Advertisement