Back to home

Watu watatu wapigwa risasi na polisi mtaani Huruma wakati wa maandamano ya mauaji ya mwanafunzi

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 11, 2026
5h ago
Watu watatu wamepigwa risasi na maafisa wa polisi mtaani huruma kwenye zogo la punde zaidi mtaani humo.watatu hao walipigwa risasi na kuwachwa na majeraha wakati polisi walikuwa wakikabiliana na kundi la waandamanaji waliokuwa wakilalamikia mauaji ya mwanafunzi aliyeuawa wiki jan
Advertisement