Back to home

Wafanyabiashara Githurai wakadiria hasara baada ya vibanda kubomolewa na mamlaka ya barabara kuu

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 19, 2026
3h ago
Mamia ya wafanyabiashara katika soko la Githurai wanakadiria hasara baada ya vibanda vyao kubomolewa katika operesheni iliyoendeshwa na mamlaka ya barabara kuu za kitaifa. Ubomoaji huu ukifanyika jana usiku, saa chache baada ya wafanyabiashara hao kuandaa maandamano kupinga zoezi
Advertisement