Back to home
Oburu Oginga asema chama cha ODM kinatafuta kiti cha Naibu Rais kwenye uchaguzi ujao
video
C
Citizen TV (Youtube)February 20, 2026
2h ago
Cheche zinazidi kuwaka katika chama cha Chungwa huku Kinara wa chama hicho Oburu Oginga akisisitiza kuwa ODM inatafuta kiti cha Naibu Rais Katika Mazungumzo yake na chama cha UDA. Haya ni huku mrengo wa Linda Mwananchi wa chama hicho ukisistiza kwamba mkutano wao uliopangwa hapo
Advertisement
Advertisement





