Back to home
Jeshi la Sifuna latwaa Kakamega, lashtumu utawala war ais Ruto
video
N
NTV Kenya (Youtube)February 21, 2026
2h ago
Kundi la ODM almaarufu ‘Linda Mwananchi’ linaloongozwa na katibu mkuu aliyetimuliwa Edwin Sifuna na gavana wa Siaya James Orengo hii leo wameongoza kongamano lao nyumbani kwa akina Sifuna katika uwanja wa Amalemba kaunti ya Kakamega.
Subscribe and watch NTV Kenya live for l
Advertisement
Advertisement




