Back to home

Lori la masafa marefu lapoteza mwelekeo na kusababisha vifo vya watu 14 webuye

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 10, 2026
2h ago
Watu 14 wameaga dunia katika ajali iliyotokea katika eneo la Malaha kwenye barabara kuu ya kutoka Kitale kuelekea Webuye Baada ya lori kupoteza mwelekeo na kuwagonga watu waliokuwa wakijaribu kuwasaidia majeruhi wa ajali ya awali iliyohusisha pikipiki. Kulingana na walioshuhudia
Advertisement