Back to home

Maafisa wa Samburu watoweka kabla ya kueleza matumizi tata ya Sh68M kikao cha kamati ya seneti

video
N
NTV Kenya (Youtube)
March 11, 2026
7h ago
Kikao cha kamati ya seneti ya Uwekezaji ya Kaunti kiligeuka kuwa cha kushangaza baada ya maafisa waliotakiwa kueleza matumizi tata ya shilingi milioni 68 katika Kaunti ya Samburu kutoweka ghafla jijini Nairobi. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and ever
Advertisement