Back to home

Mradi wa bandari ya Lamu, barabara, reli na bomba la mafuta umeleta manufaa mengi

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 16, 2026
2h ago
Mradi wa LAPSSET unaendelea kuonekana kama moja ya miradi mikubwa zaidi ya miundomsingi humu nchini . Mradi huo unalenga kuunganisha bandari ya Lamu na nchi za Ethiopia na Sudan Kusini kupitia mtandao wa barabara, reli na mabomba ya mafuta, hatua inayotarajiwa kuimarisha uchumi
Advertisement