Back to home

Bungoma: Serikali yaraiwa kuongeza mgao wa fedha kwenye bajeti ili kusaidia kukuza talanta za sanaa

video
N
NTV Kenya (Youtube)
March 19, 2026
3h ago
Serikali kupitia Wizara ya Elimu imeraiwa kuongeza mgao wa fedha kwenye bajeti ili kusaidia kuinua na kukuza talanta za sanaa hasa katika taasisi za elimu. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other
Advertisement