Back to home
Viongozi wa makanisa waendelea kuonya wanasiasa na kuwakosoa kwa siasa za matusi
video
C
Citizen TV (Youtube)March 23, 2026
3h ago
Viongozi wa makanisa wameendelea kuwaonya wanasiasa kukoma kuendeleza siasa za matusi na kudhalilishana kama ilivyoshuhudiwa siku chache zilizopita. Viongozi hawa wakijumuishwa askofu wa kanisa katoliki jimbo la Nyeri Anthony Muheria na mwenzake wa Nairobi Phillip Anyolo wamesema
Advertisement
Advertisement


