Back to home
Watu zaidi ya 100 wafanyiwa upasuaji wa utando wa jicho Kirinyaga kwa ushirikiano wa kaunti hiyo na
video
C
Citizen TV (Youtube)March 26, 2026
1h ago
Watu zaidi ya 100 walio na matatizo ya macho wamefanyiwa upasuaji wa bure wa utando wa jicho katika kambi ya matibabu ya macho inayoendelea huko Kirinyaga.
Kufikia sasa, watu zaidi ya 1,000 wamefanyiwa uchunguzi kwenye kambi hiyo iliyoandaliwa na Serikali ya Kaunti ya kirinyaga
Advertisement
Advertisement




